Saturday, 20 August 2016
#MICHEZO>>>>Mo Dewji Aanza Na Mishahara Simba SC.Fahamu zaidi hapa.
MFANYABIASHARA anayetaka kununua hisa ndani ya Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, ameanza kasi ya kuitumikia klabu hiyo ya Simba kwa kuanza kulipa mishahara ya wachezaji kuanzia mwezi huu huku suala la kununua hisa likitarajiwa kukamilika ndani ya mwaka mmoja.
Related Posts:
SIMBA Wadhihirisha Kuwa si wa Mchezo Mchezo...Warudi Kileleni.Fahamu zaidi hapa. SIMBA SC imetoka nyuma kwa mabao 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Sifa zimuendee mshambuliaji Muivory Coast, Fre… Read More
SHANGILIA YA MSHAMBULIZI WA JUVE ALIYEIUA BARCELONA SI MCHEZO.FAHAMU ZAIDI HAPA. Baada ya kufunga mabao mawili wakati Juventus ikiitwanga Barcelona katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paulo Dybala ameonyesha furaha yake kwa kushangilia kwa staili ya aina yake. Dyabala alikuwa akizun… Read More
Kaseja Atoa ya Moyoni Baada ya Tetesi za Kutaka Kurudi Simba Kuzidi Kusambaa Mjini.Fahamu zaidi hapa. KIPA namba moja wa Kagera Sugar, Juma Kaseja, ametamka kuwa maisha yake anategemea soka, hivyo hatasita kurejea kuichezea klabu yake ya zamani ya Simba kama ikimhitaji. Kauli hiyo, aliitoa hivi karibuni mara baada ya … Read More
BASI LA WACHEZAJI DORTMUND LASHAMBULIWA KWA MILIPUKO, MECHI YASOGEZWA LEO JUMATANO.FAHAMU ZAIDI HAPA. Basi la wachezaji wa Borussia Dortmund limeshambuliwa na imeelezwa kumekuwa na milipuko si mikubwa sana. Milipuko hiyo imesababisha beki Marc Bartra kuumia na kupatiwa matibabu baada ya kuumizwa na vioo. Hali hiyo i… Read More
YANGA KUPIGA MAZOEZI YA MWISHO LEO, KESHO SAFARI YA KUWAFUATA WAARABU WA ALGERIA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Kikosi cha Yanga kitafanya mazoezi yake ya mwisho jijini Dar es Salaam, leo jioni. Yanga watafanya mazoezi hayo kabla ya kuondoka kwenda Algeria kuwafuata MC Alger ya Algeria katika mechi ya pili ya Kombe la Shirikish… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment