Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>> WAZIRI MWINGINE AJIUZURU KWA AJILI YA ULEVI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Waziri wa elimu nchini Sweden amejiuzulu wadhifa wake baada ya kupatikana akiendesha gari akiwa mlevi.
Bi Aida Hadzialic, ambaye amekuwa waziri wa elimu ya sekondari na
elimu ya watu wazima, amejiuzulu baada ya kukamatwa na polisi Malmo.
Kwenye taarifa iliyoonyesha hisia nyingi, Bi Hadzialic , ambaye ndiye
mtu mchanga zaidi kuwahi kuteuliwa waziri nchini humo, amesema sharti
awajibike kwa alichosema ni kosa kubwa zaidi alilowahi kulifanya
maishani mwake.
Alipimwa na kugunduliwa kwamba alikuwa tu amepitisha kidogo kipimo kinachoruhusiwa cha unywaji pombe.
Sweden huwa na sheria kali sana za kuzuia uendeshaji gari mtu akiwa amelewa.
Bi Hadzialic, aliyehamia Sweden kama mkimbizi Mwislamu kutoka Bosnia
Herzegovina akiwa mdogo, amesema alikuwa amekunywa gilasi mbili pekee za
mvinyo.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>UKAWA washinda kiti ca Umeya Kinondoni, Dar es Salaam.Fahamu zaidi hapa.
Vyama vinavyounda UKAWA vimeibuka na ushindi katika uchaguzi wa Umeya wa
Manispaa ya Kinondoni baada ya kupata kura 38 dhidi ya CCM waliopata
kura 20.
Meya mpya ni Boniface Jacob. Manispaa ya Ilala zoezi bado linaende… Read More
#YALIYOJIRI>>>Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) afariki dunia.Fahamu zaidi hapa.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleiman
Said amefariki dunia mapema leo asubuhi akiwa katika mazoezi ya
kuogelea.
Taarifa
zinaeleza kuwa baada ya tukio hilo Bwa.Suleim… Read More
#YALIYOJIRI>>>Bandarini Hapakaliki,Wakurugenzi Watatu Wapigwa Chini na Kuhamishiwa Wizarani, Vigogo TCAA Wasimamishwa Kwa Ufisadi.Fahamu zaidi hapa.
SERIKALI
imeendelea kuisafisha Bandari kwa kuwaondoa watendaji wa ngazi za juu
na kuwahamishia wizarani ili kuongeza ufanisi katika utendaji, sambamba
na kuongeza ukusanyaji wa mapato.
Wakati hayo yakitokea Bandar… Read More
#YALIYOJIRI>>>Mbunge wa Kawe Halima Mdee, Ashinda kesi ya Uchaguzi dhidi ya Kippi Warioba.Fahamu zaidi hapa.
Mahakama
Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imefuta kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi
wa Ubunge, iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa kiti hicho kupitia
Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, dhidi ya Mbunge wa Kawe,
H… Read More
#YALIYOJIRI>>>Serikali Yazifunga Redio 28 Kwa Kushindwa Kulipa Ada ya Leseni.Fahamu zaidi hapa.
Serikali
imezifungia redio 28 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kushindwa
kulipa ada za leseni na kutimiza masharti yaliyowekwa na Mamlaka ya
Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Akizungumza
jana jijini Da… Read More
0 comments:
Post a Comment