Kampuni ya clouds media leo imesajiri rasmi wasanii mbalimbali wa bongo flava na hip hop kwa ajiri ya kutumbuiza katika takribani mikoa 15 ya Tanzania bara tamasha hilo litakapopita.nimekusogezea hapa video ya jinsi zoezi hilo lilivyofanyika na maoni ya baadhi ya wasanii.
Thursday, 11 August 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>FIESTA IMOOOOO YAFANYA USAJIRI RASMI WA WASANII WATAKAO TUMBUIZA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
#BURUDANI>>>FIESTA IMOOOOO YAFANYA USAJIRI RASMI WA WASANII WATAKAO TUMBUIZA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
#BURUDANI>>>>ZARI Amuumbua Hamisa Mobetto, Aanika Live Uchafu Wake na Diamond.Fahamu zaidi hapa. Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi mwenzie ,ambaye pia ni mpe… Read More
#BURUDANI>>>>BOSS WA BONGO STAR SEARCH…KUFILISIWA NA TRA…ANADAIWA BILIONI 7 ZA KODI,KAMPUNI YAFUNGWA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya Udalali ya Yono, wameifungia Kampuni ya Benchmark Productions na kuipa muda wa siku 14, iwe imelipa deni la kodi ya Sh bilioni 7.04, vinginevyo mali za kam… Read More
#BURUDANI>>>>TETESI za Bifu Kati ya Raymond na Harmonize Kutoka WCB, Meneja Wao Asema Haya.Fahamu zaidi hapa. Meneja anayewasimamia wasanii wa WCB wakiwemo Harmonize na Raymond, Ricardo Momo, amekanusha tetesi kuwa mafahari hao wamekuwa wakivimbiana na kwamba kila mmoja anajiona bora. Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Supa M… Read More
#BURUDANI>>>>Queen Tipha afunguka baada ya mpenzi wake, Ben Pol kuonekana kwenye picha akibusiana na Snura.Fahamu zaidi hapa. Latifa Mohamed aka Queen Tipha amefunguka baada ya kusambaa mitandaoni picha za mzazi mwenzake, Ben Pol akionekana wakibusiana na Snura wakati walipokuwa mkoani Tabora kwa ajili ya tamasha la Fiesta. Queen Tipha amekiamb… Read More
#BURUDANI>>>>WEMA Sepetu Akunwa na Wimbo wa Diamond 'Salome' Ajirekodi Akiimba, Diamond Asema Haya.Fahamu zaidi hapa. Malkia wa filamu Wema Sepetu amekunwa na wimbo mpya wa Diamond Platnumz ‘Salome’ na kuamua kujirekodi video huku akiimba wimbo huo. Diamond alipost video instagram inayomwonyesha mwigizaji huyo akiimba wimbo ‘Salome’ huk… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment