Kampuni ya clouds media leo imesajiri rasmi wasanii mbalimbali wa bongo flava na hip hop kwa ajiri ya kutumbuiza katika takribani mikoa 15 ya Tanzania bara tamasha hilo litakapopita.nimekusogezea hapa video ya jinsi zoezi hilo lilivyofanyika na maoni ya baadhi ya wasanii.
Thursday, 11 August 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>FIESTA IMOOOOO YAFANYA USAJIRI RASMI WA WASANII WATAKAO TUMBUIZA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
#BURUDANI>>>FIESTA IMOOOOO YAFANYA USAJIRI RASMI WA WASANII WATAKAO TUMBUIZA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
#BURUDANI>>>>Barnaba Adai Awali Ruby Aliukataa Wimbo ‘Na Yule’ Aliouandika.Fahamu zaidi hapa. Barnaba amedai kuwa awali Ruby aliukataa wimbo ‘Na Yule’ alioundika. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, mwandishi huyo mahiri wa nyimbo alisema aliitwa amuandikie wimbo msanii huyo. “Nikaandika nyimbo… Read More
#BURUDANI>>>>AliKiba na Diamond Kuoneshana jeuri ya Pesa.Fahamu zaidi hapa. Mziki wa bongo fleva umepata umaarufu mkubwa sana Barani Afrika na Duniani kwa ujumla. Kitendo hiki cha mziki wetu kuvuka border kimesaidia sana kuongeza Ajira kwa vijana na kukuza vipato vya wasanii wetu. Miongoni mwa wa… Read More
#BURUDANI>>>>Saida Karoli Afunguka ya Moyoni.Fahamu zaidi hapa. Msanii wa nyimbo za asili Saida Karoli aliyevuma kitambo, amefunguka na kusema kuwa kitendo cha msanii Diamond Platnum kurudia moja ya kazi yake anajihisi kuzaliwa upya.Saida Karoli ambaye aliwahi kufanya vizuri na nyimb… Read More
#BURUDANI>>>>Batuli Aitetea Bongo Movie...Adai Haijafa Kama Wanavyodai Watu.Fahamu zaidi hapa. KUNA wakati ambapo kila mtu huwa na lake la kusema katika kuongelea jambo linalogusa maslahi yake kama mwanadada msanii mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ anayepingana na kauli ambazo hutolewa … Read More
#BURUDANI>>>>Wema Sepetu- Sitaki Kusikia Team Wema, Niacheni na Maisha yangu Wengi Nyie ni Wanafiki.Fahamu zaidi hapa. Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui na wamekua wakimuaribia s… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment