Baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Shilole aliamua kukaaa muda kabla ya kumtambulisha mpenzi mpya..Siku ya leo zimezagaa picha mbali mbali ambazo zinaonyesha Shilole na Mwanaume ajulikanaye kama Hamadai wakiwa chumbani faragha ikimaanisha wenyewe ndio wameamua zitoke mtandaoni na kuanzia sasa penzi lao si siri tena.
Sunday, 14 August 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Kweli Penzi si Kikohozi, Shilole Amuonyesha Mpenzi Wake Mpya Kistaili.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>Kweli Penzi si Kikohozi, Shilole Amuonyesha Mpenzi Wake Mpya Kistaili.Fahamu zaidi hapa.
RELATED POSTS














0 comments:
Post a Comment