Baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Shilole aliamua kukaaa muda kabla ya kumtambulisha mpenzi mpya..Siku ya leo zimezagaa picha mbali mbali ambazo zinaonyesha Shilole na Mwanaume ajulikanaye kama Hamadai wakiwa chumbani faragha ikimaanisha wenyewe ndio wameamua zitoke mtandaoni na kuanzia sasa penzi lao si siri tena.
Sunday, 14 August 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Kweli Penzi si Kikohozi, Shilole Amuonyesha Mpenzi Wake Mpya Kistaili.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>Kweli Penzi si Kikohozi, Shilole Amuonyesha Mpenzi Wake Mpya Kistaili.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#BURUDANI>>>KAMPUNI YA SIMU YA TIGO KUDHAMINI TAMASHA LA FIESTA 2016.Fahamu zaidi hapa. Ofisa Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Shavkat Berdiev (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu kampuni hiyo kudhamini Tamasha la Fiesta 2016. Kushoto ni … Read More
#BURUDANI>>>Mwanamuziki Nay wa Mitego mikononi mwa Polisi.Fahamu zaidi hapa. Rapper kutoka Tanzania, Nay wa Mitego amejikuta matatani baada ya kutua mikoni mwa Jeshi la Polisi na kuhojiwa kufuatia tuhuma zinazomkabili na baadaye kuachiwa kwa dhamana. Kamanda wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro ame… Read More
Polisi wavamia nyumbani kwa Diamond usiku!...Fahamu zaidi hapa. Diamond Platnumz DAR ES SALAAM: Polisi wenye silaha hivi karibuni wali ka nyumbani kwa msanii nyota, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayeishi Mivumoni Madale na kusitisha shughuli za burudani zilizokuwa zikiende… Read More
#BURUDANI>>>TUTAPAMBANA NA WALE WOTE WANAOJIHUSISHA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII NA WANAOZISAMBAZA KINYUMBE CHA SHERIA:WAZIRI NAPE.Fahamu zaidi hapa. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na Mkurugenzi wa Steps Entertainment Bw. Delish Solanki wakati akiwasili katika ukumbi wa Suncrest Cine Plex uliopo katika jengo la Qu… Read More
Diamond ateuliwa na ubalozi wa UK Tanzania kuwa balozi wa vijana.Fahamu zaidi hapa.Diamond Platnumz ameteuliwa na ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania kuwa balozi wa vijana. Diamond akiwa na balozi wa Uingereza nchini, Bi. Dianna Melrose Tangazo hilo limetolewa na balozi wa nchi Uingereza nchini, Bi.… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment