Home »
Burudani
» Gigy Money akiri kutembea Kimapenzi na Alikiba pamoja na Abdukiba.Fahamu zaidi hapa.
Katika miaka 19 aliyoishi Duniani hakumbuki idadi ya wanaume ambao ameshalala nao
Akiwa amezaliwa katika Familia ya Watoto wanne ambao kila mtu ana Baba yake, kwa upande wake HAKUWAHI KUMJUA BABA YAKE
Mama yake alimzaa pembeni ya mlango wa choo, na ni mtu aliekuwa akiwa
anaamini hapendwi na Mama yake mzazi kutokana na sababu tofauti kabla
hajagundua ukweli.
Aliwahi kujitoa kimwili katika umri mdogo ili apate hela ya kuweza kumnusuru MAMA yake mzazi kulipa Deni la mkopo wa Benki
Ametaja MASTAR WA KITANZANIA ambao ameshawahi kushirikiana nao kingono kama
LIST HII YAPA:
1. ALIKIBA
2. ABDU KIBA
3. CASTRO DICKSON
4. HAMED PHD
5. RICH MAVOKO
6. HARMONIZE
Haya yote kayaeleza wakati akiojiwa katika kipindi cha Take One cha Zamaradi mtetema...
Angalia Video
VIDEO
Related Posts: #BURUDANI>>>>Nataka Kuwa Mcha Mungu, Maisha ya Kuendekeza Dunia Nimeyachoka – Shamsa Ford.Fahamu zaidi hapa.
Malkia wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amefunguka kwa
kusema kuwa kwa sasa anataka kujikita zaidi kwenye ibada ya kufanya
mambo ambayo yanampendeza mwenyezi Mungu.
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa
M… Read More #BURUDANI>>>>>Beny Kinyaiya Afungukia Ishu Ya Ushoga, Awaanika Wanaye.Fahamu zaidi hapa.
From Global
Mtu Kati: Vipi katika kupigapiga ‘gemu za nje’, umewahi kupata mtoto au watoto?
Kinyaiya: Yaah! Nina watoto wawili, wa kwanza anaitwa Ben
Kinyaiya Junior, ana miaka minne na nusu na wa pili anaitwa Nilla, huyu… Read More #BURUDANI>>>Roma Asababisha Kushushwa Kwa Stamina Jukwaani Fiesta ...Stamina Afunguka Haya.Fahamu zaidi hapa.
September 18 ndio siku ambayo mvua ya burudani ya Fiesta 2016 ilikuwa inashuka katika uwanja wa Jamhuri Stadium mjini Morogoro.
Usiku huo jambo ambalo lilimake headlines kinomanoma ni kitendo cha
wasanii wawili Roma Mkato… Read More #BURUDANI>>>>>Q Chief Ajutia Kujiingiza Kwenye Madawa ya Kulevya.Fahamu zaidi hapa.
Ikiwa ni mwaka mmoja toka msanii wa muziki, Q Chief akiri kutumia Madawa
ya kulevya na kuamua kuacha mwenyewe, muimbaji huyo bado anaumia
akikumbuka jinsi Madawa ya kulevya yalivyomwaribia maisha yake.
Muimbaji huyo amba… Read More #BURUDANI>>> Z Anto Aeleza Kwanini Amekataa ofa ya Kujiunga na WCB ya Diamond.Fahamu zaidi hapa.
Msanii
wa muziki ambaye aliwahi kufanya vizuri na wimbo ‘Binti kiziwi’, Z Anto
amefunguka na kusema kuwa mpaka sasa kuna label zaidi ya nne ambazo
zinamuhitaji kufanya naye kazi lakini amekataa kufanya nao kazi.
Muimbaj… Read More
0 comments:
Post a Comment