Waziri Nape Nnauye amesema Waandishi na Vyombo vya Habari vitakavyoripoti mikutano, maandamano au habari za kichochezi vitachukuliwa hatua ikiwemo kufungiwa kwa kueneza uchochezi.
Amesema Vyombo vya Habari havipaswi kuripoti habari za kuichonganisha Serikali na wananchi wake.
Je yupo sahihiii?
0 comments:
Post a Comment