Monday 30 May 2016

#Breaking News>>> Upinzani wasusia kikao cha Bunge asubuhi ya leo.Fahamu zaidi hapa.

Wabunge wa Kambi ya upinzani wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge wakipinga kushiriki tukio la kuapishwa kwa wabunge kupitia Baraza la Wawakilishi, mjini Dodoma, leo asubuhi.

0 comments:

Post a Comment