Tuesday 31 May 2016

Kurasa ya bet_africa ilivyokiki baada ya post ya mtoto wa Diamond Platnumz.Fahamu zaidi hapa.

Kurasa ya bet_africa ilivyokiki baada ya post ya mtoto wa Diamond Platnumz ‘Tifah‘ amabyo ilikuwa post kwenye kipengele chao cha Cute Day Selection.
Post yao ilisema “Our #CuteDay selection today is @diamondplatnumz‘ s daughter Princess Tifah ❤️” na baad aya hapo imekuwa post iliyopata comment nyingi zaidi kuliko post yoyote waliyowahi kuweka kwenye kurasa hii ya instagram ya kituo cha BET kwenye tawi lao la Afrika.

0 comments:

Post a Comment