Tuesday 31 May 2016

#MICHEZO>>>SERIKALI YAPIGA MKWARA MZITO UCHAGUZI WA YANGA.Fahamu zaidi hapa.

Kizingumkuti cha uchaguzi mkuu wa yanga chaendelea baada ya zoezi la uchukuaji fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika klabu ya Yanga kuwa na sintofahamu kubwa.

Serikali ilitoa maelekezo ya kuelekea uchaguzi huo lakini kunaonekana kuwepo kwa vikwazo mbalimbali ili zoezi hilo lisifanikiwe.

huyu hapa kaimu katibu mkuu wa BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA
akielezea.

0 comments:

Post a Comment