Monday 30 May 2016

#YALIYOJIRI>>>>GARI LA DAWASCO LAPARAMIA KITUO CHA MABASI NA KUJERUHI WATATU.Fahamu zaidi hapa.

Gari lenye namba za usajili T 369 BUZ linalomilikiwa na Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASCO) likiwa limeparamia kituo cha mabasi baada ya gari hilo kukosa mwelekeo na kugonga kituo hicho na kujeruhi abiria watatu waliokua kituoni hapo majira ya Saa 2 usiku jana eneo la Mbuyuni, Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam

0 comments:

Post a Comment