Monday 30 May 2016

#MICHEZO>>>PICHA:ZA TAIFA STARS KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI DHIDI YA KENYA ZIKO HAPA.

 Kikosi cha kwanza cha timu ya Soka ya Tanzania -Taifa Stars kilichoanza dhidi ya Harambee Stars ya Kenya hapo jana Jumapili.
 Mshambuliaji wa Taifa Stars, Elias Maguli (Kulia) akichuana na David Odhiambo wakati wa mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliofanyika Uwanja wa Moi Kasarani, Nairobi Kenya hapo jana. timu hizo zilitosahana nguvu kwa kutoka sare ya 1-1.
Winga wa Taifa Stars, Shiza Ramadhani akichuana na beki Joakins Atudo wa Harambee Stars katika mchezo huo.

0 comments:

Post a Comment