Thursday 18 January 2018

Kiongozi wa Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili Atumbuliwa .

Waziri wa elimu, sayansi, teknolojia na ufundi Profesa Joyce Ndalichako ameagiza kusimamishwa kazi kwa Mkuu wa kitengo cha Manunuzi wa Chuo Kikuu Cha Afya Muhimbili (MUHAS) kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.


Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea chuo hiko, Prof. Ndalichako amesema wamegundua kuwa mnunuzi huyo alikuwa akifanya manunuzi kwa matumizi mabaya ya fedha za umma na sio wa kutenda haki.

Prof. Ndalichako ameendelea kuelezea kuwa kitengo cha manunuzi kinatakiwa kishindanishe watu tofauti, na yeye alikuwa akitumia kampuni 3 zenye majina tofauti ambazo zimekuja kugundulika ni zake.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment