Friday 5 January 2018

Watu Washtushwa na Muonekano Mpya wa Wowowo la Ruby.

Jana msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Ruby kupitia ukurasa wake wa Instagram aliposti picha ikimuonesha mwenye umbo kubwa tofauti na muonekano wake wa siku zote.

Picha hiyo ambayo ni ya kwanza kwa mwaka 2018 kwa msanii huyo kuonekana, Ruby aliiweka na kuwatakia mashabiki wake Kheri ya Mwaka mpya.

Watu wengi waliotoa maoni kwenye posti hiyo wameonekana kushangaa mabadiliko hayo ya ghafla huku wengine wakidai ametumia dawa za kuongeza makalio wengine wakiamini kuwa ametumia App ku’edit picha hiyo.

utamu_baby Mchina ruby huo yaan unatudangny hvhv wakat ulikua mwembamba kama mwiko Wa pilau😂😂
fasamalsaid Kweli hii mwaka mpya mambo mapya , hongera kwa mchina #wowowo
koiyarachel@laur_de_patrique katoa wapi huu msambwanda jomoni katuzidi hadi sisi. Kweli kati ya kiboko na mamba, mamba ndio kiboko!!! pooohhhh…
mamukimwanyaMara paah 2018 kitako icho
officialsiahshoo1Kwel uchaw upo had 2018 🙊🙊unalala slim unaamka na bonge la wowowo
mdogo_wake_hamisakama ni vigodoro duuuh wew umezidi umeweka kochi zima
Ukweli ni kwamba Ruby hajatumia dawa ya kichina wala kuvaa kigodoro bali picha hiyo imefanyiwa editing  kupitia Application maalumu zinazofanya kazi hiyo ya kuongeza maumbo kwenye picha.


Picha Orijino ya Ruby aliyopiga kabla ya kueditiwa.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment