Friday 5 January 2018

Lucy Kombaa Kumzalia Mtoto Mzungu Wake.

MSANII wa filamu Bongo, Lucy Komba ambaye kipindi cha nyuma aliweka ngumu kumzalia mzungu wake, sasa anadaiwa kuwa kwenye mkakati mzito wa kusaka mtoto baada ya mwanaume huyo na familia yake kuchachamaa azae.

Akizungumza na Star Mix, mtoa ubuyu ambaye yupo karibu na bibie huyo alisema, japo kipindi cha nyuma aligoma kumzalia mzungu wake kwa madai kuwa bado anasoma sababu alijiunga na kozi mbalimbali, kwa sasa familia imemjia juu ikimtaka azae.

Baada ya kuunyaka ubuyu huo, Lucy anayeishi nchini Denmark na mumewe alivutiwa waya, alipopatikana alisema: “Mambo mengine ni ya kifamilia siwezi kuyaongelea, lakini kifupi tu ni kwamba sasa nipo kwenye mkakati wa kumpatia mtoto mume wangu.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment