Wednesday 24 January 2018

Sijafulia na Wala Siongwi Elfu 20- Pretty Kind.

Baada ya kufungiwa Miezi 6 kutoa nyimbo mpya, kutumbuiza na kujihusisha na muziki kivyovyote, leo January 24 , 2018 Msanii Pretty Kind amesema sio kweli kwamba amefulia mpaka amekua akihongwa Elfu 20.

Pretty Kind amesema kwanza anataka akirudi aonesha kabadilika sio kwenye kuimba tu hata katika maisha yake ya kawaida huku akikiri kusumbuliwa na wanaume na wengine kuchukulia matatizo yake kutaka kufanya mambo wanayotaka wao.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment