Monday 22 January 2018

Mchezaji Juma Nyosa Aingia Matatani Tena Baada ya Kumshushia Kipigo Shabiki Mpaka Kuzirai Leo.

KAITABA: Jeshi la Polisi linamshikilia Beki wa Kati wa Klabu ya Kagera Sugar, Juma Nyoso kwa tuhuma za kumpiga shabiki hadi kuzirai

Inadaiwa kuwa Mchezaji huyo alikerwa na maneno(matusi) ya Mashabiki ndipo alichukua uamuzi huo wa kumshambulia mmoja wao

Majeruhi huyo ameondolewa Uwanjani hapo(Kaitaba) kwa gari maalum la kubebea Wagonjwa(Ambulance)

Ikumbukwe kuwa Mchezaji huyo wakati akiichezea Mbeya City aliwahi kuadhibiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini(TFF) kwa kosa la kumdhalilisha kwa kutumia kidole cha kati Mshambuliaji, John Bocco(aliyekuwa akiichezea Azam FC)

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment