“Mara yangu ya kwanza kuja Dar mwanzoni mwa miaka ya 90 nilikuja kulipa
ada ya chuo kwa fedha aliyonipa mama. Nakumbuka aliniwekea fedha hizo
ktk mfuko wa ndani wa koti na kisha
akaushona mfuko huo ili nisiibiwe fedha hiyo. Kisha akasema, HII NDIYO
KARATA YAKO YA MWISHO ITUMIE VIZURI USOME. Mungu bariki nilifika salama
na nikakamilisha kilichonileta na kurudi Tanga na leo nashukuru Mungu
niko hapa. #ASANTEBIMKUBWA” @captaintanzania amefunguka hayo kwa Bi mkubwa wake #AsanteMama cC @cloudstv @choicefmtz @clouds_digital
0 comments:
Post a Comment