Sunday 30 August 2015

#YALIYOJIRI>>>Mapokezi ya Mhe.Edward Lowassa yanoga huko Iringa.Fahamu zaidi hapa.

 Mhe.Edward Lowassa  akiwaaga Wananchi wa Iringa mjini baada ya mkutano viwanja vya Gagilonga Iringa 
 Mhe.Edward Lowassa akiwasalimia wanaIringa kuelekea viwanja vya Gagilonga Iringa 
  Mgombea wa UKAWA Mhe.Edward Lowassa akiwautubia wanaIringawa kwenye viwanja vya Gagilonga Iringa.
 Mhe.laumasha akiwautubia wanaIringa kwenye viwanja vya Gagilonga.
  Waziri Mkuu Mstaafu,FredrickSumaye akihutubia Mkutano wa Kampeni Mgombea Urais UKAWA EdwardLowassa leo Iringa



 wanaIringawa Iringa wakimsikiliza mgombea wa UKAWA Mhe.Edward Lowassa viwanja vya Gagilonga Iringa.
  wanaIringawa Iringa wakimsikiliza mgombea wa UKAWA Mhe.Edward Lowassa viwanja vya Gagilonga Iringa.

 Waziri wa zamani wa Elimu Mungai akiwasil mkutano wa UKAWA viwanja vya Gagilonga.

Saa 11:56 jioni baada ya Mhe.edward lowassa kumaliza mkutano wa kampeni Iringa.

 Wafanyakaz wa Msalaba Mwekundu tayari kwa yeyote atakayepata tatizo ktk mkutano wa kampen Iringa leo.
 WanaIringa wakitembea kurudi nyumbani baada ya Edward lowassa  kuongea nao leo.

wanaIringawa Iringa wakimsikiliza mgombea wa UKAWA Mhe.Edward Lowassa viwanja vya Gagilonga Iringa.

0 comments:

Post a Comment