Thursday 8 October 2015

#YALIYOJIRI>>>RAIS JAKAYA KIKWETE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU.FAHAMU ZAIDI HAPA.

 Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya sherehe za miaka 65 ya kuzaliwa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete na miaka 55 ya kuzaliwa mdogo wake Yusufu Mrisho Kikwete jana jioni jijini Dar es salaam. Rais Kikwete na mdogo wake walisherehekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata na kula keki na wajukuu wao na wa jamaa, ndugu na marafiki waliowaalikwa kwenye sherehe hii fupi iliyojaa furaha na bashasha.

0 comments:

Post a Comment