Friday 18 November 2016

#BURUDANI>>>>Mimba ya Nisha Bebee Yazua Balaa..Adai Baba Kijacho Wake Hawezi Hata Kujinunulia Sabuni ya Kufulia Boxer.Fahamu zaidi hapa.

Ujauzito wa Mwigizaji Nisha Bebee umezidi kuzua sinto fahamu kutokana na vichambo anavyopost mtandaoni kwenda kwa Muhusika wa Ujauzito huo..leo tena amepost akimtolea uvivu kama ifuatavyo:
"Watu wanasema nimepewa mimba na kutelekezwa, guyz kuna tofauti kati ya kutelekezwa na kutotaka mtoto wako amjue baba ake.
 
Since nimeamua kuwa wazi wananipigia kama machizi.. NASEMA HIVI SUBIRINI DNA ZA MACHO naanzaje kumtambulisha mwanangu kwa baba namnunulia hadi sabuni ya kufulia boxer mwanaume mzima unaolewa na demu.. star ushuzi star jina pesa hana mfukoni tena koma kutuma marafiki zangu.. tena moods zangu za sasa hivi sizo nichokonoe nikupost unazopiga vizinga hela za maandalizi ya show xiiew.. I'M DONE" Nisha


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

 

0 comments:

Post a Comment