Saturday 19 November 2016

#MICHEZO>>>Manchester United yabanwa mbavu na Arsenal kwenye uwanja wa nyumbani Old Trafford baada kuku bali sale ya Manchester United 1 - 1 Arsenal.Fahamu zaidi hapa.

Beki wa Man United, Antonio Valencia akipambana na wa Arsenal Nacho Monreal. Valencia alianguka na Man United walikuwa wakidai kuwa ni mkwaju wa penalti, lakini mwamuzi akasema, kipute kiendelee.




Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

 

0 comments:

Post a Comment