Monday 14 November 2016

#YALIYOJIRI>>>Kulikoni Ikulu, Serikali na CCM Wanachelewa Kutoa Majibu ya Tuhuma za Msingi Kama Hizi?..Fahamu zaidi hapa.

Ndugu wapendwa, kumezuka tuhuma nyingi wiki iliyopita...kwanza ilikuwa ya mhe. Mbowe bungeni, ya wabubge hupewa ten M, akanyamazishwa.

Tukasubiri tamko la chama tawala kimya, serikalini kimya, ikulu kwa rais kimya hadi leo.

Pili ishu ya kagera hakuna ufafanuzi wa maana hadi sasa tunaumizana na maswali wenyewe but serikali ipo kwa nini isije na majibu na kuondoa huu kma ni upotoshwaji wa habari kama watu wanavyodai.

Serikali hii haijawah kuwa na kigugumizi kwa swala lolote, kuna tatizo gani la mawasiliano kujibu hizi hoja, kwenye Chama Ole sendeka kimya, serikalini (waziri mkuu) kimya, ikulu (rais) wetu kimya nani wa kutupa majibu sahihi?

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi

Bonyeza Hapa CLICK HERE
 

0 comments:

Post a Comment